Thursday, June 18, 2015

Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Radamel Falcao hajaweka wazi kama anatua Chelsea, lakini kauli yake imethibitisha kwamba anaweza kujiunga na mabingwa hao wa England majira ya kiangazi mwaka huu.
Baada ya Colombia kushinda 1-0 dhidi ya Brazil katika mechi ya Copa America , Falcao ameulizwa swali kuhusu tetezi zinazoendelea kuhusu yeye kuhamia Chelsea ambapo amejibu kwamba,  inaweza kuwa kweli, lakini itajulikana siku chache zijazo.

Chelsea chini ya Jose Mourinho siku chache zijazo inatarajia kutangaza kumsajili Falcao kwa mkataba wa mkopo wa mwaka moja kutoka Monaco ya Ufaransa, kikiwemo kipengele cha kumnunua moja kwa moja siku za usoni.


Hata hivyo baada ya nyota huyo kushindwa kuonesha cheche Manchester United, mashabiki wa Chelsea wanaamini Falcao atakuwa kama Fernando Torres aliyeshindwa kutamba Stamfird Bridge.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video