Saturday, June 13, 2015

Ikiwa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars imekwishawasili nchini Misri kuvaana na timu ya Taifa ya Misri kuwania kufuzu kucheza fainali za Mataifa ya Africa (AFCON) 2017, itamkosa mshambuliaji wake,  Mrisho Ngasa katika mechi hiyo ya kesho.
Ngasa ambaye ataikosa mechi hiyo kutokana na sababu zilizo nje ya  uwezo wake, nafasi yake itazibwa na Amri Kiemba, ambaye ameondoka hiyo jana hadi mjini Cairo ambako ameungana  na Stars.


Stars  iliweka kambi yake ya wiki moja nchini Ethiopia kujifua tayari kuikabili Misri siku ya jumapili.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video