Tuesday, June 9, 2015

SAA chache baada ya TFF kutoa taarifa kwamba Singano na Simba wanatakiwa kuanza mazungumzo ya mkataba mpya wa msimu mpya wa 2015/16, baada pande zote  kueleza kutambua utata ulio ndani ya mikataba iliyokuwepo ambayo kimsingi iliingiwa kabla ya uongozi wa sasa wa Simba SC, mkuu wa Idara ya habari na mawasiliano wa Simba, Hajji Manara ameibuka na kusema kamati ya utendaji ya klabu hiyo inakutana kesho kujadili suala hilo.
“Kamati ya utendaji ya Simba, kesho jioni inakutana  kujadili, pamoja na mambo mengine tutajadili sakata la Singano, tutajadili mapendekezo ya TFF na kutoa majibu” Manara amekaririwa na E-fm usiku huu.
Hata hivyo katika kikao hicho, uongozi wa Simba uliwakilishwa  na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji Collin Frisch na mchezaji Ramadhani Yahya Singano aliandamana na Uongozi wa Chama cha Wacheaji wa Mpira wa Miguu (SPUTANZA).
Kutokana na kauli ya Manara haijafahamika Simba inakwenda kujadili nini juu ya mkataba wa Singano kwasababu nao walikuwepo kwenye kikao hicho na Collins ameweka saini makubaliano hayo, labda kama amelazimishwa na TFF kufikia  maamuzi ya kuifuta mikataba yote miwili yenye utata.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video