Friday, June 5, 2015

MSHAMBULIAJI machachari wa Liverpool, Raheem Sterling huenda akaelekea katika klabu ya Manchester United , ingawa nyota huyo mwenye umri wa miaka 20 ana wasiwasi kuhusu athari za uhamisho huo kutokana na ushindani mkali uliopo kati ya klabu hizo mbili.
Unite ikihaha kuinasa saini ya Sterling, tayari Liverpool imesema haiko tayari kufanya biashara na wapinzani wao wakuu kutoka Kaskazini Magharibi.

Mkufunzi wa klabu ya Manchester United,  Luois Van Gaal anavutiwa na kasi ya uchezaji ya mchezaji huyo na uwezo wake wa kuwachachafya mabeki.


Sterling amekataa kusaini mkataba mpya Liverpool ambao atalipwa mshahara wa paundi laki moja kwa wiki akisema kuwa anataka kuondoka na kuichezea klabu ambayo ina uwezo wa kushinda mataji pamoja na kushiriki Uefa Champions League msimu ujao.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video