Bondia Vicent Mbilinyi kushoto akitunishiana msuli na Said Mundi baada ya kupima uzito kwa ajili ya pambano lao la raundi sita litalopigwa kesho Jumamosi uwanja wa ndani wa Taifa. Picha na SUPER D BOXING NEWS |
Bondia Vicent Mbilinyi kushoto akipozi na Said Mundi baada ya kupima uzito |
Bondia Vicent Mbilinyi akipima uzito, kushoto ni mratibu wa pambano hilo, Antony Rutta
Bondia Said Mundi wa Tanga akipima uzito
0 comments:
Post a Comment