Monday, June 1, 2015

Kwa mujibu wa ukurasa wa facebok wa Azam FC ni kwamba, Azam FC imewaruhusu wachezaji wake watatu waliomaliza mikataba yao kutafuta timu nyingine
Wachezaji hao ni Gaudence Mwaikimba, Amri Kiemba (mkopo toka Simba) na Wandwi Jackson
Pia klabu imerefusha mikataba ya wachezaji waliokuwa wakikaribia kumaliza mikataba yao. Wachezaji hao ni Said Morad, Erasto Nyoni, Dedier Kavumbagu, Khamis Mcha, Waziri Salum, Brison Raphael, Joseph Kimwaga, Mudathir Yahya na Farid Mussa.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video