Monday, June 1, 2015

Uongozi wa Yanga, umemkabidhi mshambuliaji wake mpya, Malimi Busungu jezi namba 16.
Busungu amekabidhiwa jezi hiyo leo wakayi akitambulishwa mbele ya waandishi wa habari.

Straika huyo amejiunga na Yanga akitokea Mgambo JKT ya Tanga.

Awali, Busungu alikuwa akiwaniwa na Simba, lakini mwisho Yanga ilifanikiwa kumnasa.


Jezi hiyo ilikuwa ikivaliwa na Nizar Khalfani aliyemaliza mkataba na Yanga, lakini uongozi umeamua kutomuongezea.

Nizar tayari ameshamwaga wino kuitumikia timu mpya ya Mwadui fc.



Baada ya kukabidhiwa jezi hiyo, Busungu amesema anaamini Yanga ni sehemu sahihi na ana matumaini makubwa ya kufanya vizuri.


0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video