
Hii ndio michuano mikubwa zaidi kwa soka la wanawake duniani, zaidi ya watu bilioni moja wanatarajiwa kushuhudia michuano hiyo kwa njia ya televisheni.
Mechi ya ufunguzi itakuwa baina ya wenyeji Canada dhidi ya China.

Timu za Ujerumani, Marekani na Ufaransa zinapewa nafasi ya kufanya vizuri zaidi kwenye michuano hiyo.
Waandalizi wa michuano hiyo wamekataa matatizo ya FIFA kuwachanganya kwenye shughuli za uaandaaji wa michuano hiyo.
0 comments:
Post a Comment