Monday, June 1, 2015

Na Ramadhani Ngoda.
Kusuasua kwa Liverpool msimu uliomalizika na kuondoka kwa Rafa Benitez katika klabu ya Napoli kumempa Jurgen Klopp nafasi mbili za kazi baada ya kuiacha Dotmund lakini Mjerumani huyo ameamua kujipa likizo isiyo na muda maalumu kabla kufikiria kutafuta timu ya kufundisha.

“Nitapumzika mpaka ple ntakapoamua tena,” alisema Klopp.


Klopp(47) amabaye ameiaga Dotmund aliyeitumikia kwa
 miaka saba katika mchezo wa fainali ya DFB-POKAL mwishoni mwa wiki na kuambulia kipigo cha mabao 3-1 kutoka kwa Wolfsburg, amekuwa akihusishwa na kujiunga na Liverpool kurithi kiti cha kocha wa sasa Brendan Rodgers aliyekuwa na msimu mbaya na Liverpool.
Nguli wa zamani wa Ujeruma Franz Backenbauer amemtaja Klopp kama mtu sahihi katika klabu ya Napoli baada ya Rafael Benitez kutimkia Santiago Bernabeu.
Kocha huyo wa zamani wa Mainz awali aliwahi kutajwa kama mrithi wa Carlo Anceloti aliyetimka Real Madrid, lakini Madrid wanatazamiwa kumtangaza Rafael Benitez kama kocha mkuu wa klabu hiyo baadaye wiki hii.

Dortmund watamkumbuka Zaidi Klopp kwa mafanikio yake Signal Iduna Park ikiwemo ubingwa wa DFB-POKAL msimu wa 2011/12 na kutinga fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya msimu wa 2012/13 walipoambulia nafasi ya pili.



0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video