Tuesday, June 9, 2015

Rushwa yakithiri ndani ya FIFA ambapo mtandao wa BBC umeripoti kuwa, Makamu wa Rais wa zamani wa Shirikisho la Kandanda duniani FIFA Jack Warner amekumbwa na kashfa nyingine na uchunguzi dhidi yake kuhusiana na kupotea kwa fedha ambazo zililengwa kwa ajili ya kuwasaidia waathirika wa tetemeko la ardhi lililoikumba Haiti mwaka 2010.
Warner aliitembelea nchi hiyo miezi kadhaa baada ya tetemeko hilo a kuchangisha kiasi cha dola mia saba na elfu 50 kutoka FIFA na shirika la mpira wa miguu la Korea kusini kwa ajili ya kuijenga upya nchi hiyo.

Lakini hata hivyo, Wachunguzi wa kashfa hiyo ya rushwa inayoikabili FIFA wanasema fedha hizo zilihamishwa katika Akaunti inayomilikiwa na Bwana Warner kwa ajili ya matumizi yake binafsi. Aidha  miaka minne baadaye fedha hizo zilikuwa bado hazijatolewa maelezo na Warner mwenyewe amekana tuhuma zote zilizotolewa dhidi yake



0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video