Timu ya taifa ya Tanzania imetolewa kwenye michuano ya Cosafa baada ya kufungwa mechi mbili mfululizo, 1-0 na Swaziland na jana 2-0 dhidi ya Madagascar.
Kesho inakamilisha ratiba kwa kucheza na timu ya taifa ya Lesotho.
Rais wa TFF, Jamal Emil Malinzi ame-tweet kupitia kwenye account yake ya twitter @jamalmalinzi
0 comments:
Post a Comment