Friday, May 15, 2015


HATIMA ya kocha wa Simba aliyemaliza mkataba wake, Goran Kopunovic kuendelea kuinoa klabu hiyo msimu ujao inafahamika leo ijumaa na tayari Mserbia huyo amethibitisha kwamba leo ndio siku anakayotoa jibu kuhusiana na ofa aliyopewa na Wekundu wa Msimbazi.

 “Ni kweli tulikubaliana Ijumaa (leo). Nitawaeleza nini kinaendelea na nimeamua vipi,’ Amesema Kopunovic na kuendelea: “Ningependa kubaki Simba, lakini kumbuka mimi pia ni binadamu nina mahitaji muhimu,” alisema.


Mwenyekiti wa Kamati ya Utendaji ya Simba, Zacharia Hans Poppe amesema leo wanasubiri jibu la kocha huyo.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video