Thursday, May 21, 2015

Kamati ya Usajili ya Simba, imefanya kweli kwa kuwabakiza wachezaji wake wawili, Said Ndemla na Hassan Isihaka.
Isihaka ambaye ni nahodha wa Simba, ilielezwa alikataa kusajili kwa madai nataka dau nono zaidi.


Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia hans Poppe amesema tayari wamemalizana na wachezaji hao kwa kuwaongezea mikataba ya miaka mitatu kila mmoja.
“Wote wawili, kila mmoja tumemuongezea mkataba wa miaka mitatu,” alisema Hans Poppe.

“Tunaendelea kufanya mazungumzo na wengine ambao tunahitaji wabaki. Kidogo tunafanya mambo yetu hatua kwa hatua.”

Simba tayari imeanza kufanya usajili wa kuboresha safu yake ya kiungo lakini walichopanga kwanza ni kuwabakiza wachezaji wanaowataka.

Hans Poppe ndiye mwenyekiti wa kamati hiyo na makamu wake ni Kassim Mohammed Dewji.



0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video