Friday, May 22, 2015

Julio kamwe! hawezi kuifundisha Yanga

KOCHA mwenye maneno mengi, Jamhuri Kiwhelo ‘Julio’ amethibitisha kuwa kamwe hawezi kuifundisha klabu ya Yanga katika maisha yake ya kufundisha mpira wa miguu.
Julio alikuwa anaiambia E-fm usiku huu kwamba katika maisha ya mpira leo unaweza kuwa klabu hii kesho nyingine, wakati anataja klabu mbalimbali akaitaja Yanga, ghafla alifuta kauli yake kwa haraka akidai hawezi kuifundisha Yanga.

“Katika mambo ya mpira kuna leo na kesho, leo nipo Mwadui, kesho nipo Coastal, keshokutwa nitakuwa Yanga, aaah! Yanga hapana, keshokutwa nitakuwa Simba, hayo ndio maisha ya mpira”. Amesema Julio na kusisitiza: “Unajua Yanga ni timu ambayo wao wenyewe hawaniamini, lakini kwa utaratibu wa kimpira unaangalia wapi kwenye maslahi. Kama kocha natakiwa kuwa kocha  wa timu yoyote inayonihitaji, kama hivi nilikuwa Simba, nikaenda Mwadui, nimekuwa Coastal, kesho inatakiwa niwe Mbeya City, lakini kwa huu utamaduni wetu wa Kitanzania kwamba wewe ukiwa kocha wa Simba basi uwe umecheza Simba na uwe kocha wa Simba tu, hutakiwi kwenda klabu nyingine si mzuri, leo hii Fred Minziro au Charles Boniface hawezi kuifundisha Simba, sasa hii si maana halisi ya ukocha.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video