Olivier Giroud akiifungia Arsenal bao la kwanza jana dhidi ya Queens Park Rangers katika dimba la Loftus Road

Giroud akimbeba mchezaji mwenzake wa Arsenal, Tomas Rosicky walipokuwa wakishangilia goli

Alexis Sanchez akikatisha kutoka kulia na kufunga goli kwenye kona iliyobana

Sanchez akiamusha shangwe baada ya kutia kitu kambani katika uwanja wa Loftus Road
0 comments:
Post a Comment