Friday, January 30, 2015

YANGA SC imeendelea kujifua kujiandaa na mechi ya kesho kutwa uwanja wa Taifa, jijini Dar es salaam dhidi ya Ndanda fc.

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga, Jerry Muro amesema katika mazoezi ya leo, kocha mkuu wa klabu hiyo Hans van der Pluijm ameendelea kufanyia marekebisho safu yake ya kiungo na ushambuliaji.

“Tunafanya mazoezi kwa siku kadhaa, nadhani kesho mwalimu atakamilisha programu yake kabla ya mechi ya jumapili, tunaenda kucheza na Ndanda yenye morali kubwa”.


“Wametoka kushinda na Kagera Sugar, nasisi tuliwafunga Polisi Morogoro, kwahiyo tutaingia kwa tahadhari kubwa”

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video