Tuesday, January 20, 2015

KAGERA Sugar wenye machungu ya kupoteza mechi iliyopita kwa bao 1-0 dhidi ya Mbeya City fc, kwa mara nyingine wanatupa karata yao leo jioni mbele ya Azam fc kusaka pointi tatu muhimu.

Mechi hiyo kali ya kiporo ya ligi kuu Tanzania bara itapigwa  katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.


Kwa upande wa Azam fc wanaingia kwenye mchezo wa leo wakijiamini kutokana na ushindi wa bao 1-0 waliopata dhidi ya Stand United mwishoni mwa wiki iliyopita uwanja wa CCM Kambarage Shinyinga.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video