Mchezaji wa Africa Lyon, Rajab Khamis aliumia mkono kufuatia kupigwa na mashabiki wa Lipuli FC ya Iringa katika mchezo wa ligi daraja la kwanza uliopigwa juzi na kumalizika kwa suluhu.
Raizan Hafidh aliumia nyama za paja baada ya kukatwa mtama ba kukanyagwa katika paja na mashabiki wa Lipuli
Kasim Simbaulanga naye aliumia mkono kutokana na fujo hizo
Home
»
»Unlabelled
» UHUNI WA KUPINDUKIA: WACHEZAJI WA AFRICA LYON WAPIGWA VIBAYA NA MASHABIKI WA LIPULI FC
Friday, January 9, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment