Sunday, January 18, 2015

TUNISIA wanaanza kampeini zao leo za kusaka ubingwa wa kombe la Mataifa ya Afrika, Afcon 2015 kwa kukabiliana na Cape Verde katika mechi ya kundi B itayopigwa uwanja wa Nuevo Estadio majira ya 4:00 usiku kwa saa za Afrika mashariki.

Wakati miamba hiyo ya soka kaskazini mwa Afrika ikiingia uwanjani kama moja ya timu inayopewa nafasi ya kutwaa ubingwa kufuatia kampeini nzuri wakati wa mechi za kufuzu, Cape Verde wanaingia uwanjani kama wachanga kabisa.

Hata hivyo Cape Verde ‘Blue Sharks’ ambao wanashiriki kwa mara ya pili Afcon (walishiriki kwa mara ya kwanza 2013 nchini Afrika kusini na kuonesha kiwango cha juu), wamekuwa miongoni mwa nchi zilizoendelea kwa kiwango cha juu kisoka duniani miaka miwili au mitatu iliyopita.


Mechi ya mapema itayoanza majira ya saa 1:00 usiku inawakutanisha Zambia dhidi ya DR Congo.


MATOKEO ZA MECHI ZA JANA KUNDI A HAYA HAPA:

MECHI

MATOKEO

Guinea ya Ikweta v Congo Brazaville

1 : 1

Burkina Faso v Gabon

0 : 2



0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video