MSHAMBULIAJI aliyeonekana amefulia ulaya, Fernando Torres ameipiga Real Madrid mabao mawili peke yake katika sare ya 2-2 uwanja wa Santiago Bernabeu, mechi ya kombe la mfalme.
Alifunga goli ambalo hakuwahi kufunga Bernabeu baada ya kugusa mpira wake wa kwanza na baadaye alifunga goli la pili na kuwatoa Real Madrid katika michuano ya Copa del Rey.
Cristiano Ronaldo aliyeshinda tuzo ya Ballon d'Or alifunga goli moja, wakati Ramos naye alifunga, lakini hawakuweza kuinusuru Real Madrid.
0 comments:
Post a Comment