Wednesday, January 28, 2015




Kocha wa klabu ya Liverpool Brendan Rodgers amemmwagia sifa kedekede mlinda mlango wa Chelsea Thibaut Courtois na kusema ndio mchezaji bora katika mchezo wao wa kombe la Capital One uliopigwa jana katika dimba la Stanford bridge.

Rodgers alisema licha ya timu yake kufanya jitihada zote kuhakikisha inachomoza na ushindi katika mchezo huo na mpaka kufika dakika za nyongeza mia ishirini, golikipa huyo raia wa ubelgiji ndio aliwanyima ushindi kwa kulinda lango lake kwa ustadi wa hali ya juu.
“Hakuna shaka Courtois ndio alikuwa mchezaji bora katika mchezo wa jana licha ya bao pekee kufungwa na beki wa pembeni Branislav Ivanovic katika dakika za nyongeza”alisema Brendan Rodgers.


Chelsea sasa imefanikiwa kutinga fainali ambapo itapambana na mshindi kati ya Tottenham Hotspurs au Sheffield United zinazoshuka ugani usiku wa leo kutafuta tiketi hiyo kwenda wembly.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video