Monday, January 26, 2015



Alksandar Dragovic
 
Klabu ya Manchester United ipo katika harakati za mwisho kumsajili beki klabu ya Dinamo Kiev na timu ya taifa ya Austria Alksandar Dragovic kwa ada ya kitita cha uro 15millioni baada ya kumkosa Gabriel Paulista aliyejiunga na washika mitutu wa London Arsenal.

Yevhen Konoplyanka
 

Nayo klabu ya Everton ipo katika mazungumzo ya kumsajili winga wa klabu ya Dnipro na timu ya taifa ya Ukraine Yevhen Konoplyanka, huku klabu hiyo ikiwa na hofu ya kumkosa Kevin Mirallas katika dirisha dogo la usajili mwezi January.
 

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video