Thursday, January 29, 2015




 Juan Cuadrado
Klabu ya Chelsea imekubali kutoa kiasi cha pauni milioni 35 kwa ajili ya kumsajili kiungo mshambuliaji wa klabu ya Fiorentina na timu ya taifa ya Colombia Juan Cuadrado.


 Kiasi hicho ndicho walichokiitaji Fiorentina na inasemekana na vyombo mbalimbali barani ulaya Chelsea imekubali  kutoa fedha hizo na kufikia mwafaka kwa upande wa maslahi binafsi na mchezaji huyo.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video