Friday, January 30, 2015


Bayern Munich have pulled out of the race to sign Marco Reus at the end of the season
Bayern Munich wameacha na mpango wa kumsajili Marco Reus 

Bayern Munich wameachana na mbio za kumsajili Marco Reus na kuacha milango wazi kwa klabu ya Real Madrid na klabu kubwa za ligi kuu England.
Bayern wamefikia maamuzi ya kutomshawishi Reus wiki kadhaa zilizopita kwa madai kuwa tayari wana viungo washambuliaji wengi na hawataki kuharibu uhusiano wao wa karibu na Borussia Dortmund, hii ni kwa mujibu wa gazeti la Bild. 
Real wanapewa nafasi kubwa ya kumsajili Reus, lakini kutokana na tetesi za klabu za Hispania kufungiwa usajili, anaweza kutua katika timu za ligi kuu England majira ya kiangazi mwaka huu.
Reus is one of the hottest prospects in Europe and will be courted by the Premier League's top clubs
Reus ni miongoni mwa wachezaji wakubwa barani ulaya na atazivutia klabu kubwa.
Taarifa za Bayern kutomsajili zitawashitua Manchester City na Chelsea ambao wanaendelea kutumia pesa kuimarisha vikosi vyao ili kufikia ubora mkubwa wa ulaya.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video