Friday, January 9, 2015


Kipa wa Arsenal Wojciech Szczesny ameomba radhi kwa meneja wake Arsene Wenger, kufuatia taarifa kuwa kipa huyo kutoka Poland alivuta sigara bafuni, baada ya kufungwa 2-0 katika mechi ya siku ya mwaka mpya dhidi ya Southampton. Wenger hakuweza kuthibitisha kuwa Szczesny alikutwa akivuta sigara, lakini amesema mchezaji huyo "alifanya kosa". Lakini Wenger hajasema kama hatomchezesha kipa huyo katika mechi dhidi ya Stoke. "Alifanya makosa, yeye sio wa kwanza, wala wa mwisho," amesema Wenger. "Navutiwa na Wojciech, na akifanya makosa huwajibika.
"Nadhani amechangia mengi katika taswira nzuri ya Arsenal, na anajifunza kutokana na makosa yake.
"Ameomba radhi. Ni kijana makini anayejituma sana." amesema Wenger.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video