Sunday, January 25, 2015




      
wachezaji wa simba wakishangilia bao la Emmanuel Okwi

Klabu ya wekundu wa msimbazi Simba imewanyima pointi tatu muhimu mabingwa watetezi wa ligi kuu soka Tanzania bara Azam fc almaarufu kama wanalambalamba katika mchezo wa kuwania ligi kuu soka Tanzania bara uliopigwa leo hii katika dimba la uwanja wa taifa jijini Dar e s salaam.

Emmanuel Okwi akijaribu kumtoka kumtoka Beki wa pembeni wa azam Shomari kapombe
 
ilikuwa ni simba iliyopata bao la kuongoza kwa kupitia mshambuliaji  raia wa kiganda Emmanuel okwi goli lililodumu mpaka kipindi cha kwanza kinamalizika, lakini kipindi cha pili Azam ilicharuka na kuliandama lango la wekundu wa msimbazi Simba,


wachezaji wa Azam wakishangilia goli la Kipre Tcheche kutoka kushoto Kipre Tcheche,John Boko, khamis mcha.
 
na katika dakika ya hamsini na saba mshambuliaji Raia ya Ivory Coast Kipre Tcheche aliweza kusawazishia Azam na kupelekea timu hizo kugawana pointi moja moja, huku azam bado ikiwa inashikilia usukani wa ligi kwa kujikusanyia pointi 21 na simba ikifikisha pointi 13.

na Frank Momanyi

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video