Tuesday, January 27, 2015

BAADA ya kushuhudia timu za taifa za Guinea ya Ikweta, Congo Brazaville, Tunisia na Congo DR zikifuzu robo fainali ya kombe la mataifa ya Afrika, Afcon 2015 zinazoendelea nchini Guinea ya Ikweta, leo usiku tunatarajia timu zingine mbili kutoka kundi C zikifuzu hatua hiyo.

Mechi mbili za mwisho za kundi hilo linaloaminika kuwa la kifo linazikutanisha timu za Senegal dhidi ya Algeria, wakati Afrika kusini ambao ni wenyeji watachuana na Bafana Bafana.


Mechi zote zitaanza majira ya saa 3:00 usiku.


MSIMAMO WA KUNDI C
Group C
  • Pos
  • Team
  • P
  • W
  • L
  • D
  • GF
  • GA
  • Pts
  • 1
  • Senegal
  • 2
  • 1
  • 0
  • 1
  • 3
  • 2
  • 4
  • 2
  • Ghana
  • 2
  • 1
  • 1
  • 0
  • 2
  • 2
  • 3
  • 3
  • Algeria
  • 2
  • 1
  • 1
  • 0
  • 3
  • 2
  • 3
  • 4
  • South Africa
  • 2
  • 0
  • 1
  • 1
  • 2
  • 4
  • 1

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video