Friday, January 30, 2015

ROBO fainali ya kombe la Mataifa ya Africa, Afcon 2015 inaendelea kesho nchini Guinea ya Ikweta.
Mechi ya kwanza ya robo fainali itapigwa kesho januari 31 majira ya saa 1:00 usiku baina ya Congo na Congo DR.
Baadaye  majira ya 4:30 usiku Tunisia watashuka dimbani kukabiliana na wenyeji Guinea ya Ikweta.
Januari 1, mwaka huu tutashuhudia robo fainali mbili za mwisho.
Mapema saa 1:00 usiku, Ghana watashuka dimbani kuoneshana kazi na Guinea na baadaye saa 4:30 usiku, Ivory Coast watachimbuana na Algeria.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video