Sunday, January 25, 2015




Andrea Pirlo
 
Kiungo mchezeshaji wa klabu juventus turin Andrea Pirlo ameibuka na kusema kuwa mchezaji Paul Pogba ataingia katika historia endapo kama atabaki katika kiwango alichonacho hivi sasa.

Paul Pogba 
 
Pogba raia wa ufaransa mwenye umri wa miaka ishirini na moja alitua katika dimba la turin kwa uhamisho wa bure katika majira ya joto mwaka 2012 akitokea katika klabu ya Manchester united na tangu hapo amekuwa kiungo mwenye uwezo mkubwa ambaye kwa sasa anamezewa mate na klabu kubwa.


mchezaji huyo anahusishwa na kujiunga na klabu mbalimbali ikiwepo klabu yake ya zamani Manchester united, mabingwa wa ulaya Real Madrid, Chelsea pamoja na mabingwa wa ligi kuu nchini ufaransa klabu ya paris saint germain licha ya wakala wake kutamka kwamba atasalia klabuni hapo mpaka mwisho wa msimu huu.






Pirlo ambaye amekuwa akishirikiana na pogba katika nafasi ya kiungo kwa miaka miwili na nusu sasa ametabiri makubwa kwa kinda huyo ambaye yupo katika kiwango cha juu kwa sasa.

"Pogba hajaacha kuimarika siku hadi siku,ana kila kitu kuwa mchezaji bora duniani embapo kama ataweka kichwa chake mabegani na kuongeza bidii ataweka historia kubwa katika mchezo wa soka,”mkongwe Pirlo aliliambia gazeti la Telefoot.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video