MPANGO wa Lukas Podolski kuhamia
Inter Milan kwa asilimia kubwa umekamilika kufuatia mshambuliaji huyo wa Ujerumani kukutana na
kocha wa klabu hiyo Roberto Mancini katika uwanja wa mazoezi wa timu hiyo jana
jumamosi.
Nyota huyo ameshaaga Arsenal tayari
kuanza maisha mapya katika Ligi ya Italia maarufu kwa jina la Seria A.
“Mshindi huyu wa kombe la dunia
alikuwepo Centro Sportivo Angelo Moratti leo (jana) kwa lengo la kufahamu
uwanja wake mpya wa mazoezi na alikutana na kocha wa Nerazzurri ," taarifa
ya Inter Milani kwa vyombo vya habari ilieza
0 comments:
Post a Comment