Tuesday, January 20, 2015

yangaa
Wachezaji wa Yanga wakifanya mazoezi jana

YANGA jana jioni imefanya mazoezi katika viwanja vya Tanganyika Parkers .

Kocha Mkuu  Hans Pluijm alisema wameamua kufanya mazoezi katika uwanja huo ikiwa ni maandalizi ya kucheza na Polisi Moro katika uwanja wa jamhuri kwani dimba hilo linafanana na lile la Jamhuri.

Mechi hiyo ya kukata na shoka itapigwa januari 24 mwaka huu.

yangaaaa
Pia Pluijm  amesisitiza kwamba anawataka wachezaji wake waliokwenda kujiunga na Stars maboresho Msuva,Telela, Said Makapu, Hassan Dilunga,Edward Charles na Niyonzima ambaye yupo na Rwanda anataka warudi haraka ijumaa tayari kuivaa

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video