Saturday, January 31, 2015

KIKOSI cha Mbeya City fc kipo safi asilimia 100 kuwavaa Polisi Morogoro ikisaka mzigo mwingine wa pointi tatu katika mechi ya ligi kuu Tanzania bara itayopigwa jioni ya leo uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro.

Taarifa iliyopenyezwa MPENJA BLOG asubuhi hii na Afisa habari wa klabu hiyo, Dismas Ten inasema hakuna majeruhi yoyote na jana jioni walifanya mazoezi vizuri na wanaamini wako tayari kuchukua pointi tatu kama Mungu atawaajalia.

“Timu iko vizuri, hakuna majeruhi. Kama unavyoona sahizi ukishinda mechi moja unapanda sana kwenye msimamo. Tukishinda leo tutapanda zaidi. Tumejiandaa kikamilifu”. Amesema Dismas.


Mbeya City fc inaingia uwanjani ikiwa na kumbukumbu ya ushindi wa mabao 2-1 iliopata jumatano iliyopita uwanja wa Taifa dhidi ya Simba sc.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video