MWIGIZAJI wa filamu wa kike wa Ghana, Joselyn Canfor-Dumas na mtangazaji wa TV wa
Afrika kusini, Robert Marawa wamethibitishwa kuwa washereheshaji (MC) wa tuzo za mwanasoka bora wa Afrika,
Glo-CAF 2014.
Wawili hao watalivaa jukwaa
katika sherehe hizo za 23 za mwanasoka bora wa Afrika zitakazofanyika leo
Januari 8 mwaka huu mjini Lagos Nigeria.
Dumas, sura maarufu katika TV barani Afrika, alionekana kwa mara
ya kwanza katika TV akiwa ni mtangazaji wa Ghanaian local entertainment show, iitwayo Rhythmz, ambayo alikuwa anawahoji watu mbalimbali
maarufu.
Marawa ni kwasasa ni mtangazaji wa Super Sport aki-host kipindi
cha i083 Sports@6 on Metro FM? mjini Johannesburg.
0 comments:
Post a Comment