Tuesday, January 20, 2015

Nyota kutoka Argentina Leo Messi amefunga magoli matatu kwa mara nyingine akiwa na Barcelona na hivyo kutimiza michezo thelathini ambayo amefunga bao tatu au zaidi akiwa na jezi za miamba hiyo



Ikumbukwe kuwa katika ligi ya Hispania (La Liga) rekodi ya mabao matatu ‘Hat-trick’ inashikiliwa naye nyota kutoka Ureno Cristiano Ronaldo, mwenye 23. 
Hata hivyo kwa mabao hayo Messi sasa amefikisha awamu 22 akilingana na mkongwe Telmo Zarra katika nafasi ya pili. Katika ngazo ya timu yake ya Taifa Nyota huyo (messi) amefunga mara 2 na hivyo kutimiza jumla ya Hat trick 32 katika ngazi ya klabu na taifa.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video