Friday, January 30, 2015

Matola (kushoto) akiwa na kocha mkuu wa Simba, Goran Kopunovic

KOCHA msaidizi wa Simba, Seleman Abdallah Matola ‘Veron’ ameomba kuacha kazi anayofanya kwasasa na kupangiwa kazi nyingine klabuni au kujiuzulu kabisa.

Rais wa Simba, Evans Aveva amekiri leo kupokea taarifa hiyo, lakini wamemuambia aandike barua rasmi na kuifikisha kwa uongozi.

Matola amefikia hatua hiyo kutokana na presha kubwa iliyopo Msimbazi na sasa anafikiria kurudi Simba B.


Kiungo huyo wa zamani wa  Simba amekuwa akitupiwa lawama za kuwa chanzo cha Simba kufanya vibaya na ndio maana anaomba kuacha kazi ya ukocha msaidizi.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video