Saturday, January 24, 2015

united
MASHETANI Wekundu Manchester United wametoka suluhu pacha (0-0) na timu ndogo ya Cambridge United katika mechi ya kombe la FA iliyomalizika usiku huu.
Katika mechi hiyo,kikosi cha United chenye thamani kubwa chini ya kocha Louis van Gaal kimebanwa kabisa na timu hii ya daraja la pili.
Cambridge ndio timu pekee ya chini zaidi iliyosalia kwenye kombe hili, lakini wanaonesha upinzani mkubwa zaidi.
FT
Cambridge United
0 - 0
Manchester United
match details :
26'
  
  Marouane Fellaini
65'
  
  James Wilson
69'
Cameron McGeehan  
  


Kombe la FA litaendelea leo kwa mechi mbalimbali kupigwa kama ratiba inavyoonesha haoa chini:
January 24
15:45
Blackburn Rovers
? - ?
Swansea City
18:00
Birmingham City
? - ?
West Bromwich Albion
18:00
Cardiff City
? - ?
Reading
18:00
Chelsea
? - ?
Bradford City
18:00
Derby County
? - ?
Chesterfield
18:00
Manchester City
? - ?
Middlesbrough
18:00
Preston North End
? - ?
Sheffield United
18:00
Southampton
? - ?
Crystal Palace
18:00
Sunderland
? - ?
Fulham
18:00
Tottenham Hotspur
? - ?
Leicester City
20:30
Liverpool
? - ?
Bolton Wanderers

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video