Saturday, January 31, 2015



Klabu ya Manchester United imefanikiwa kulipiza kisasi cha kufungwa mabao matano kwa matatu dhidi ya Leicester City baada ya kuivurumisha kwa mabao matatu kwa moja mchezo uliopigwa katika dimba la Old Trafford jijini Manchester.

Magoli ya Manchester United yalifungwa na Mshambuliaji wa klabu hiyo Robbin Van Persie pamoja na Radamel Falcao, lingine akijifunga beki wa Leicester city Wes Morgan wakati goli la kufutia machozi la Leicester likifungwa nae
Marcin Wasilewsk.

Matokeo mengine ni kama ifuatavyo:

                     Hull City 0 - 3 Newcastle United
 
                 Crystal Palace 0 - 1 Everton
 
                 Liverpool 2 - 0 West Ham United
 
                 Stoke City 3 - 1 Queens Park Rangers
 
                 Sunderland 2 - 0 Burnley
 
               West Bromwich Albio 0 - 3Tottenham Hotspur
 
                 Chelsea 1 - 1 Manchester City

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video