Saturday, January 10, 2015


Manchester United imeripotiwa imepiga hatua nyingine katika mbio zake za kumnyakua winga Gareth Bale baada ya Real Madrid kuonekana kukubali ofa yao kwa mchezaji huyo.

United wanaiwania kwa udi na uvumba saini ya Bale baada ya msimu kumalizika, kikosi hicho cha Louis van Gaal kikihitaji mchezaji mwenye kiwango cha juu.

Imeripotiwa kuwa kiasi cha pauni milioni 150 kimeandaliwa kwa ajili usajili huo, huku ripoti zaidi zikieleza jana kuwa Madrid sasa wameonekana kukubali ofa hiyo.

Madrid watafanya biashara hiyo kama ofa hiyo itawafikia na wameripoti kuwa tayari wameshaanza kusaka mbadala wake, wakimtaka mchezaji wa Borussia Dortmund, Marco Reus.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video