ELIUS Maguli, mshambuliaji hatari wa Simba amesema
kutwaa makombe mawili akiwa Simba ndani ya muda mfupi ni jambo la furaha kwake.
“Toka nimekuja Simba nimechukua makombe mawili,nNani
Mtani Jembe na sasa kombe la Mapinduzi, hili ni jambo zuri mno. Limenipa moyo
na lazima nipigane zaidi na zaidi”.
Mshambulizi huyo mwenye nguvu nyingi aliwaomba
mashabiki wa Simba kuiunga mkono timu yao kwani wana nafasi ya kufanya vizuri.
0 comments:
Post a Comment