Saturday, January 31, 2015




Kocha msaidizi wa klabu ya Real Madrid Paul Clement amesema Winga wa klabu hiyo na timu ya taifa ya Wales Gareth Bale hataondoka katika klabu hiyo siku za hivi karibuni kwani bado wanamuitaji mchezaji huyo kwa udi na uvumba kwa ajili ya kuisaidia klabu hiyo kutwa mataji mbalimbali barani ulaya likiwemo lile la klabu bingwa Barani Ulaya.



Bale ambaye alikuwa anahusishwa na kutimkia katika klabu ya Manchester United alijiunga na Real Madrid kwa kitita cha Pauni 100M kutoka Tottenham Hotspurs mwaka 2013, ameisaidia klabu klabu hiyo kutwaa ubingwa wa klabu bingwa Barani Ulaya lakini pia kombe la Mfalme Copa delay akishirikiana na mshambuliaji machachari wa timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo.

 


Clement  alisema hajui taarifa hizo zimetoka wapi kuwa Bale anaondoka katika dimba la Santiago Bernabeu wakati Winga huyo mwenye umri wa miaka 24 anaumuhimu mkubwa sana katika klabu hiyo.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video