Wednesday, January 14, 2015

Mkude (kulia) akiwa kazini

KIUNGO mkabaji wa Simba, Jonas Gerrard Mkude amesema kutwaa ubingwa wa kombe la Mapinduzi ni mwanzo mzuri wa kufanya vizuri katika mechi za ligi kuu Tanzania bara.

Mkude ameuambia mtandao huu kuwa kocha Goran Kopumovic amekuja na mbinu mpya ambazo zinawasaidia kuwa imara.

“Kocha anataka kushambulia kwa kasi na kukaba sana. Ni mwalimu mzuri. Ujue kila mwalimu ana ubora wake. Hata Phiri (Patrick) alikuwa mzuri, sema kuna kutofautiana”.

Kiungo huyo tegemeao alisema mafanikio ya ubingwa wa Mapinduzi ni umoja na mshikamano kwa wachezaji wote wa Simba, mashabiki na viongozi.


“Mechi haikuwa rahisi, lakini tulijituma kwa dakika zote na hatimaye tumevuna matokeo mazuri”. Alisema Mkude.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video