Friday, January 30, 2015

JKT Ruvu Stars imejipanga kuichapa Simba na kuizidishia machungu zaidi katika mechi ya ligi kuu Tanzania bara itayopigwa kesho jioni uwanja wa Taifa, Dar es salaam.

Kocha mkuu wa klabu hiyo, Fredy Felix Minziro amesema wanafahamu wazi kuwa Simba wamejeruhiwa, lakini vijana wake wapo tayari kucheza soka maridadi kabisa.

“Naomba mashabiki waje kwa wingi kuona soka la burudani ambalo hawajaliona kwa siku nyingi, tunatambua Simba wamejeruhiwa, lakini nawaambie waje kucheza mpira na wasije na vitendo vya kihuni”. Amesema Minziro

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video