Saturday, January 31, 2015


Klabu ya Manchester United inatarajiwa kuchuana vikali na Leicester katika uwanja wa nyumbani wa Old Trafford,huku klabu hiyo ikiendelea kukumbwa na wimbi la majeruhi ambapo kiungo wa kati Michael Carrick hatocheza katika mechi yoyote kwa kipindi cha wiki tatu baada ya kupata jeraha la misuli.


Ashley Young anakaribia kupona jeraha baada ya kuumia nyuma ya goti lake,huku Jonny Evans na Chris Smalling wakitarajiwa kuimarisha safu ya ulinzi.

Mathew Upson huenda akarejea tena katika kikosi cha kwanza cha Leicester baada ya kupona jereha la goti alilopata kabla ya msimu kuanza.


Matty James yupo nje kwa kadi nyekundu,Riyad Mahrez bado yuko Afrika akiichezea timu ya Taifa yake ya Algeria huku Kasper Schmeichel na Chris Wood wakiwa bado wako nje kwa majeraha.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video