Saturday, January 24, 2015

 
MWENYEKITI wa kamati ya usajili wa klabu ya Simba, Keptein wa zamani wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JTWZ), Zacharia Hans Poppe ameteuliwa kuwa mjumbe wa Baraza la 13 la Michezo la Taifa , BMT.

Akizungumza leo mbele ya waandishi wa habari katika uzinduzi wa baraza hilo uliofanyika ukumbi wa mikutan,  Uwanja wa Taifa, Dar es salaam, Waziri wa Habari, vijana, utamaduni na michezo, Dr. Fenela Mkangara amemtangaza Dioniz Malinzi kuwa mwenyekiti, wakati makamu wake atakuwa Zaynabu Matitu Vullu.

Katibu mkuu ni Henry J. Lihaya, wakati wajumbe waliochaguliwa ni Leonard Thadeo, Alex Mgongolwa, Jamal Rwambo, Adam Mayingu, Jenifer Mmasi Shang’a, Crecensius Magori, Zainab Mbiro, John Ndumbaro, Zacharia Hans Poppe na Mohamed Bawaziri.


Mara baada ya kuteuliwa Hans Poppe amemshukuru Waziri kumpa heshima hiyo na ameaahidi kufanya kazi kwa ushirikiano mkubwa.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video