Friday, January 2, 2015


Los Angeles Galaxy hope to sign Liverpool captain Steven Gerrard when his contract expires in the summer
Los Angeles Galaxy wanatumaini kuinasa saini ya Steven Gerrard 

NAHODHA wa Liverpool, Steven Gerrard leo ijumaa anatarajia kutangaza kumaliza miaka yake 26 ya kuichezea Liverpool.
Nyota huyu aliyetukuka Anfield anatarajia kuondoka mwishoni mwa msimu huu.
Gerrard aliyejiunga na klabu hiyo akiwa na miaka 8 tu anatakiwa na klabu ya  LA Galaxy. 
Hata hivyo, Gerrard amesisitiza kuwa hajafikia maamuzi yoyote na klabu yake.
Kiungo huyu mahiri amepiga chini mpango wa kuongeza Mkataba Anfiedl na amekuwa huru kuzungumza na klabu nyingine kutoka jana januari mosi mwaka huu.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video