Friday, January 30, 2015


Chelsea striker Diego Costa (right) moves towards the ball after Emre Can takes a tumble off the pitch
Mshambuliaji wa Chelsea, Diego Costa (kulia) akiondoka na mpira baada ya kumkanyaga  Emre Can

PAUL Scholes anaamini kuwa Diego Costa anatakiwa kuigwa kwa uvumilivu wake awapo uwanjani na si kukosolewa kwa kosa alilofanya.
Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa England amefungiwa mechi tatu kwa kitendo cha kumkanyaga mchezaji wa Liverpool, Emre Can  wakati wa mechi yao ya pili ya nusu fainali ya kombe la Ligi iliyopigwa jumanne iliyopita uwanja wa Stamford Bridge.
Baadaye Costa alijihusisha katika kosa lingine la kumchezea vibaya beki wa Liverpool Martin Skrtel, lakini FA imesema haitamchukulia hatua yoyote kutokana na tukio hilo.
Costa appears to stamp on Can's right leg during a feisty Capital One Cup semi-final second leg
Costa akikanyaga mguu wa kulia wa Can

Licha ya hasira za Costa, gwiji wa Manchester United, Scholes amedai mshambuliaji huyo wa The Blues anatakiwa kuheshimiwa kufuatia kuchukizwa na Skrtel

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video