Monday, January 26, 2015


Mshambuliaji wa Chelsea, Didier Drogba akipozi katika picha na tuzo yake 

Jose Mourinho amesisitiza kuwa bado kuna mambo mengi yanakuja kutoka kwa Didier Drogba katika klabu ya Chelsea na tayari mshambuliaji huyo amesema anataka kubakia Chelsea baada ya msimu huu kumalizika.
Mourinho alisema hayo wakati Drogba anatunukiwa tuzo ya kuwa na mchango wa muda wote katika soka aliyopewa na chama cha waandishi wa habari za michezo.
Hafla hiyo ilifanyika jana jumapili katika Hotel ya Savoy mjini London. 
Mourinho alimsifu Drogba, ambaye alijiunga na Chelsea kwa mara ya kwanza kwa ada ya paundi milioni 24 mwaka 2004 kuwa : "Huyu ni mchezaji mwenye thamani ambayo haijawahi kutokea katika klabu" na amesisitiza nyota huyo mwenye miaka 36 akisema 'Bado hajamaliza"
Drogba, in action against Bradford on Saturday, has been signed by Jose Mourinho on two occasions
Drogba, akiwa kazini dhidi ya Bradford jumamosi iliyopita 
The 36-year-old celebrates scoring against Manchester United at Old Trafford in October last year

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video