Tuesday, January 27, 2015

USIKU wa leo majira ya saa 4:45 kwa saa za Afrika mashariki, Uwanja wa Stamford Bridge mjini London unawaka moto kwa kuwakutanisha wenyeji Chelsea dhidi ya Liverpool katika mechi ya marudiano ya nusu fainali ya kombe la ligi ‘Capital One Cup’.

Mechi ya kwanza iliyopigwa wiki iliyopita uwanja wa Anfield, timu hizi mbili zilitoka sare ya bao 1-1.


Timu zote zinahitaji ushindi ili kutinga fainali ya Capital One.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video