Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga, Jerry Muro akiongea na waandishi wa habari leo mjini Zanzibar katika kambi ya klbu hiy iliyopo Hoteli ya Zanzibar Ocean View
KLABU ya Yanga imetengaza rasmi kuachana na mlinda mlango wake Juma Kaseja kwa madai kuwa Tanzania One huyo wa zamani hajaonekana klabuni kwa majuma matatu.
Mkuu wa Idara ya habari na Mawasiliano wa Yanga, Jerry
Muro amekutana na waandishi wa habari leo mjini Zanzibar na kueleza kuwa kitendo
hicho cha Kaseja kimemfanya avunje mwenyewe mkataba wake na klabu hiyo yenye
maskani yake makutano ya Twiga na Jangwani , Kariakoo, Dar es salaam.
Katika hatua nyingine, Yanga imekanusha madai ya
kushindwa kumlipa Kaseja milioni 20 ambayo ni sehemu ya fedha za usajili wake wakidai
walishamlipa kabla ya kupeleka barua ya madai.
Taarifa rasmi inakujia……
0 comments:
Post a Comment