Thursday, January 29, 2015


KUFUATIA kuifunga Simba Sc mabao 2-1 katika mechi ya ligi kuu soka Tanzania bara iliyopigwa jana uwanja wa Taifa, kocha mkuu wa Mbeya City, Juma Mwambusi ametoka kauli ya kumshukuru Mungu kwa kuiwezesha City kupata pointi tatu muhimu ambazo zitaifanya  kusogea katika nafasi nyingine kwenye msimamo wa ligi huku. Pia amewashukuru wachezaji na mashabiki waliosafiri kutoka Mbeya  kuja kuisapoti timu yao.
“Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutuwezesha kupata ushindi, hizi ni pointi tatu muhimu ambazo zitatusogeza kwenye nafasi nyingine katika msimamo wa ligi, nawashukuru mashabiki wetu waliosafiri kutoka Mbeya kuja hapa kutupa sapoti, nafahamu mwishoni mwa juma hili  tuna mchezo mwingine wa ligi dhidi ya Polisi Morogoro  tunaanza maandalizi ya mchezo huo leo kuhakikisha tunapata matokeoa  na kwa uwezo wa Mungu naamini tutafanikiwa”  amesema Mwambusi

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video